kabange twite akichuana na mchezaji wa black leopards |
WIMBI LA TEGETE KUCHEKA NA NYAVU LAMPA JINA “MTURUKI!”
Vinara wa Ligi Kuu Vodacom, Yanga, ambao
pia ndio Mabingwa wa Soka Afrika Mashariki na Kati, leo wakicheza Mechi
yao ya kwanza tangu warejee kutoka Antalya, Uturuki waliko piga Kambi
ya Mazoezi ya Wiki mbili, wameichapa Black Leopard ya Afrika Kusini Bao
3-2 katika Mechi ya Kimataifa ya Kirafiki iliyochezwa Uwanja wa Taifa
Jijini Dar es Salaam.
hawa ni mashabiki wa yanga |
MAGOLI:
Yanga 3
-Tegete Dakika ya 32 & 73
-Domayo 63
Black Leopard 2
-Khoza Dakika ya 47
-Rodney 89
Nyota wa Mechi hii alikuwa Jerry Teget
aliefungia Yanga Bao 2 akiendeleza wimbi la kufunga aliloanza huko
Uturuki kati Mechi za kujipima nguvu kiasi ambacho Washabiki wa Yanga
wameanza kumpachika Jina ‘Mturuki!’.
KIKOSI cha YANGA:
1.Ally Mustafa 'Barthez'
2.Mbuyu Twite
3.Oscar Joshua
4.Nadir Haroub 'Cannavaro'
5.Kelvin Yondani
6.Athumani Idd 'Chuji'
7.Kabange Twite
8.Frank Domayo
9.Didier Kavumbagu
10.Jerson Tegete
11.Haruna Niyonzima
Akiba:
1.Said Mohamed
2.Godfrey Taita
3.Stephano Mwasika
4.Ladislaus Mbogo
5.Shadrack Nsajigwa
6.Nurdin Bakari
7.Saimon Msuva
8.Omega Seme
9.Said Bahanuzi
10.George Banda
11.David Luhende
12.Rehani Kibingu
13.Nizar Khalfani
14.Juma Abdul
No comments:
Post a Comment