Thursday, July 19, 2012

 Zoezi la uokoaji linaendelea 113 hawajulikani walipo

polisi wakiokoa majeruhi




 Uokoaji unaendelea katika Meli ya MV Seagull(SKAGIT) mpaka sasa Maiti 31 zimepatikana,146 wamenusurika,113 BADO WANATAFUTWA




No comments:

Post a Comment