Ajali
ilitokea kwenye eneo la Mboga karibu na Chalinze,
millardayo.com
haijapata taarifa zozote za vifo
ila abiria wengi wamejeruhiwa.
.
.
.
.
.
..
.
.
Hawa walitaka kuibia majeruhi ila wakadakwa.
Kondakta wa basi ndio huyu ambae aliteguka
kiuno ambapo kuna mama ambae mguu wake ulikatika.
Hii taarifa ni kutoka kwa Ripota wa nguvu David Lusekelo.
No comments:
Post a Comment