Thursday, May 2, 2013

YAWEZEKANA HII NDIO AJALI MBAYA ZAIDI MWEZI HUU HAPA NCHINI,VIBAKA WAKAMATWA WAKITAKA KUIBA..PICHA


..
Ajali ilitokea kwenye eneo la Mboga karibu na Chalinze, 
millardayo.com haijapata taarifa zozote za vifo 
ila abiria wengi wamejeruhiwa.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
..
..
.
.
.
.
.
Hawa walitaka kuibia majeruhi ila wakadakwa.
Kondakta wa basi ndio huyu ambae aliteguka kiuno ambapo kuna mama ambae mguu wake ulikatika.
Kondakta wa basi ndio huyu ambae aliteguka 
kiuno ambapo kuna mama ambae mguu wake ulikatika.
..
Hii taarifa ni kutoka kwa Ripota wa nguvu David Lusekelo.

No comments:

Post a Comment