Saturday, January 19, 2013

YANGA YAICHAPA BLACK LEOPARD YA BONDENI 3-2!


kabange twite akichuana na mchezaji wa black leopards






WIMBI LA TEGETE KUCHEKA NA NYAVU LAMPA JINA “MTURUKI!”

Vinara wa Ligi Kuu Vodacom, Yanga, ambao pia ndio Mabingwa wa Soka Afrika Mashariki na Kati, leo wakicheza Mechi yao ya kwanza tangu warejee kutoka Antalya, Uturuki waliko piga Kambi ya Mazoezi ya Wiki mbili, wameichapa Black Leopard ya Afrika Kusini Bao 3-2 katika Mechi ya Kimataifa ya Kirafiki iliyochezwa Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.


hawa ni mashabiki wa yanga

MAGOLI:
Yanga 3
-Tegete Dakika ya  32 & 73
-Domayo 63
Black Leopard 2
-Khoza Dakika ya 47
-Rodney  89 

Nyota wa Mechi hii alikuwa Jerry Teget aliefungia Yanga Bao 2 akiendeleza wimbi la kufunga aliloanza huko Uturuki kati Mechi za kujipima nguvu kiasi ambacho Washabiki wa Yanga wameanza kumpachika Jina ‘Mturuki!’.

KIKOSI cha YANGA:
1.Ally Mustafa 'Barthez'
2.Mbuyu Twite
3.Oscar Joshua
4.Nadir Haroub 'Cannavaro'
5.Kelvin Yondani
6.Athumani Idd 'Chuji'
7.Kabange Twite
8.Frank Domayo
9.Didier Kavumbagu
10.Jerson Tegete
11.Haruna Niyonzima
Akiba:
1.Said Mohamed
2.Godfrey Taita
3.Stephano Mwasika
4.Ladislaus Mbogo
5.Shadrack Nsajigwa
6.Nurdin Bakari
7.Saimon Msuva
8.Omega Seme
9.Said Bahanuzi
10.George Banda
11.David Luhende
12.Rehani Kibingu
13.Nizar Khalfani
14.Juma Abdul

Liverpool kumsaini Mbrazil, Zaha Jumatatu ni Man au Arsenal, Big Sam kwa Pilato!!


SAM_ALLARDYCE 




















Klabu ya Liverpool iko mbioni kumsaini Chipukizi wa Barazil Philippe Coutinho huku hatima ya Kinda wa Crystal Palace, Wilfried Zaha, kujulikana Jumatatu na Meneja wa West Ham, Sam Allardyce, amefunguliwa mashitaka na FA, Chama cha Soka England, kwa kukiuka Kanuni kufuatia kauli yake dhidi ya Refa aliechezesha Mechi yao na Manchester United.
Liverpool na Mbrazil
Liverpool wako mbioni kusaini Mchezaji wao wa Pili katika Dirisha hili la Uhamisho la Mwezi Januari baada ya kutoa Ofa ya Pauni Milioni 8 kumchukua Kiungo wa Inter Milan Philippe Coutinho.
Coutinho, Miaka 20, ambae ameichezea Brazil mara moja na alichukuliwa na Inter Milan akiwa na Miaka 16 tu na kubaki kwao Brazil kwa Mkopo hadi 2010 ambako ndio alitua Inter Milan na kucheza Mechi 28 lakini Msimu uliopita alipelekwa Spain kuchezea Espanyol kwa Mkopo.
Mchezaji mwingine alienunuliwa na Liverpool hii Januari ni Straika kutoka Chelsea Daniel Sturridge aliechukuliwa kwa Dau la Pauni Milioni 12.
Zaha
Crystal Palace > Arsenal au Man United
Habari za ndani zimedokeza kuwa Uhamisho wa Wilfried Zaha wa Crystal Palace kwenda Manchester United au Arsenal utajulikana mwanzoni mwa Wiki ijayo.
Ingawa Man United ndio inayopewa nafasi kubwa kumchukua Kinda huyo, hasa baada ya Mtendaji Mkuu wa Klabu hiyo, David Gill, kukiri kuwa wamekuwa wakimfuatilia, lakini pia Arsenal wamekuwa wakimwinda.
Hata akiuzwa kwa sasa, Crystal Palace imekuwa ikisisitiza kipengele cha kubaki na Mchezaji huyo hadi mwishoni mwa Msimu ili awasaidie kuwapandisha Daraja.
Frazier
Sunderland > Cardiff City
Fraizer Campbell yupo mbioni kukamilisha Uhamisho wa £600,000 kutoka Sunderland kwenda Cardiff City.
Straika huyo wa zamani wa Manchester United ambae ameichezea England mara moja amekuwa akiandamwa na tatizo la Goti baada ya kuumia vibaya mara mbili katika Goti hilo hilo moja ambalo limemfanya kiwango kushuka.
Meneja wa Sunderland, Martin O'Neill, anategemewa kumnunua Danny Graham kutoka Swansea kwa Pauni Milioni 5 ili kumbadili Frazier Campbell.
M'Vila 
Rennes > QPR
Kiungo huyo wa Klabu ya Rennes ya France ambae anathaminiwa kwa Pauni Milioni 7 anawindwa na Meneja wa QPR Harry Redknapp lakini pia zipo Klabu nyingine zinazomwandama.
Akiongea kuhusu Yann M'Vila, Loïc Rémy amesema: "Ningependa aje QPR tuwe pamoja. Nishamwambia hapa ni pazuri."
Sam Allardyce ashitakiwa na FA
Meneja wa West Ham Sam Allardyce amefunguliwa Mashitaka ya Utovu wa Nidhamu na FA, Chama cha Soka England, kufuatia kauli yake mara baada ya Timu yake Jumatano iliyopita kufungwa Bao 1-0 na Manchester United na kutupwa nje ya FA CUP.
Alardyce alidai uamuzi wa kuwanyima Penati Uwanjani Old Trafford na kuwapa Man United Penati ni sababu ya kucheza Uwanja wa Nyumbani.
Hata hivyo Penati waliyopewa Man United ilipaishwa na Straika Wayne Rooney. Allardyce amepewa hadi Januari 23 kujibu Mashitaka hayo.
Penati ambayo West Ham wanaidai ni pale Fulbeki Rafael alipokontroli mpira na Paja na kisha kumgonga Mkononi.
Allardyce alikaririwa akisema: “Unaona kila mara Old Trafford! Hamna tofauti kati ya kushika kwa Rafael na Jordan Spence. Ila Spence anachezea West Ham, Timu ya ugenini na Rafael ni Mchezaji wa nyumbani Old Trafford.”
Taarifa ya FA imesema: “Shitaka hili linahusiana na kuvunjwa kwa Kanuni ya FA E3.”
CHANZO SOKA IN BONGO

VPL: KUANZA JANUARI 26, KUWEPO ‘SUPER WEEK ya SUPERSPORT’

TFF_LOGO12 










UCHAGUZI TFF: 36 WACHUKUA FOMU, 18 WAREJESHA
Mzunguko wa pili ya Ligi Kuu ya Vodacom utaanza Januari 26 huku kukiwa na maombi ya televisheni ya SuperSport kuonyesha Mechi za Super Week kama ilivyokuwa katika mzunguko wa kwanza.
KWA TAARIFA ZAIDI:
Release No. 06
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Januari 17, 2013
36 WACHUKUA FOMU TFF, 18 WAREJESHA
Wakati kesho ndiyo mwisho wa kuchukua na kurejesha fomu za kuwania uongozi kwenye uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPL Board) waombaji 36 wameshachukua na 18 tayari wamesharejesha.
Idadi hiyo ni kufikia leo mchana (Januari 17 mwaka huu). Pia Kamati ya Uchaguzi ya TFF inasisitiza kuwa wanaorejesha fomu hizo kwa email wanatakiwa kuzituma kwa Katibu Mkuu wa TFF kwa email ya tfftz@yahoo.com na si kwa email binafsi za wajumbe wa Kamati ya Uchaguzi au maofisa wa TFF.
Waombaji wanne walioongezeka katika orodha ni Blassy Kiondo kwa Kanda ya Katavi na Rukwa, Eliud Mvella (Mbeya na Iringa), Geofrey Nyange (Morogoro na Pwani), na Omari Abdulkadir kwa Kanda ya Dar es Salaam.
Orodha kamili ya waombaji ni Athuman Nyamlani, Jamal Malinzi na Omari Mussa Nkwarulo (urais) wakati waombaji wa umakamu wa rais mpaka sasa ni Michael Wambura, Ramadhan Nassib na Wallace Karia.
Kwa upande wa wajumbe wa Kamati ya Utendaji na kanda zao kwenye mabano ni Salum Chama (Kagera na Geita), Mugisha Galibona, Samuel Nyalla, Titus Osoro na Vedastus Lufano (Mara na Mwanza).
Epaphra Swai na Mbasha Matutu (Shinyanga na Simiyu), Charles Mugondo na Elly Mbise (Arusha na Manyara), Yusuph Kitumbo (Kigoma na Tabora), Ayubu Nyaulingo, Blassy Kiondo, Nazarius Kilungeja na Selemani Kameya (Katavi na Rukwa) na James Mhagama (Njombe na Ruvuma).
Athuman Kambi na Zafarani Damoder (Lindi na Mtwara), Hussein Mwamba na Stewart Masima (Dodoma na Singida), Farid Nahdi, Geofrey Nyange na Twahili Njoki (Morogoro na Pwani), Elias Mwanjala na Eliud Mvella (Iringa na Mbeya), Khalid Mohamed (Kilimanjaro na Tanga) na Muhsin Balhabou, Omari Abdulkadir na Shaffih Dauda (Dar es Salaam).
Kwa upande wa Bodi ya Ligi Kuu (TPL Board) waliochukua fomu mpaka sasa ni wawili tu. Yusuf Manji amechukua fomu ya uenyekiti wakati Said Mohamed amechukua fomu ya kuwania umakamu mwenyekiti.
SUPER WEEK TENA NDANI YA LIGI KUU YA VODACOM
Mzunguko wa pili ya Ligi Kuu ya Vodacom utaanza Januari 26 mwaka huu huku kukiwa na maombi ya televisheni ya SuperSport kuonesha mechi za Super Week kama ilivyokuwa katika mzunguko wa kwanza.
Raundi tano za awali katika ratiba ya mzunguko wa pili zinabaki kama zilivyo wakati nyingine zilizobaki zitatolewa baada ya kuingiza mechi za Super Week.
Wakati huo huo, mzunguko wa pili wa Ligi Daraja la Kwanza unatarajia kuanza Januari 26 mwaka huu. Ratiba ya ligi hiyo na tarehe rasmi ya kuanza itatangazwa baada ya kupitiwa na Kamati ya Ligi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inayotarajiwa kukutana mwishoni mwa wiki.
Boniface Wambura
Ofisa Habari
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)

VPL: RATIBA:
RAUNDI YA PILI
26 JAN 2013 - 18 MEI 2013
Januari 26
African Lyon v Simba [National Stadium, Dar es Salaam]
Mtibwa Sugar v Polisi Morogoro [Manungu, Morogoro]
Coastal Union v Mgambo JKT [Mkwakwani, Tanga]
Ruvu Shootings v JKT Ruvu [Mabatini, Pwani]
Azam v Kagera Sugar [Azam Complex, Dar es Salaam]
JKT Oljoro v Toto Africans [Sheikh Amri Abeid, Arusha]
Januari 27
Yanga v Tanzania Prisons [National Stadium, Dar es Salaam]

Friday, January 18, 2013

VAN PERSIE ANAVYOIBEBA MAN UNITED...



On Thursday Manchester United boss Sir Alex Ferguson insisted that his side were not a one-man team and wholly reliant on hot shot Robin van Persie.
And now he has the stats to back it up as Sportsmail and Opta can reveal that United have a larger number of different goalscorers than any other club in the Barclays Premier League.
United lead the pack with 16 different scorers, ahead of Chelsea and Manchester City who have 14 and 13, respectively.
One man team? Sir Alex Ferguson insists that Manchester United are not wholly reliant on free-scoring striker Robin Van Persie (pictured)
One man team? Sir Alex Ferguson insists that Manchester United are not wholly reliant on free-scoring striker Robin Van Persie (pictured)
Man Utd's Wayne Rooney
Manchester United's Javier Hernandez
Playing their part: Wayne Rooney (left) has seven Premier League goals and Javier Hernandez (right), eight

UNITED'S PL GOALSCORERS

Robin van Persie - 17

Javier Hernandez - 8

Wayne Rooney - 7

Patrice Evra - 4

Jonny Evans - 3

Tom Cleverley - 2

Shinji Kagawa - 2

Rafael - 2

Anderson - 1

Alexander Buttner - 1

Darren Fletcher - 1

Nani -1

Nick Powell - 1

Paul Scholes - 1

Nemanja Vidic - 1

Danny Welbeck - 1
Liverpool, Spurs and West Ham are adept at spreading the goals around with 12 each, Norwich have 11, and Reading and Southampton have ten each.
Arsenal, Everton, Suderland,West Brom and Wigan will need to show improvement as they have just nine but five clubs, Aston Villa, Newcastle, QPR, Stoke and Swansea, are at the foot of the table with only eight different goalscorers.
The importance of Michu to the Swans, who has 13 of his team's 31 goals is underlined, while Harry Redknapp will be hoping £8million Loic Remy will bring QPR the goalscoring they have so desperately needed. 
The eight players who have scored for Redknapp's side only have 17 goals between them, Adel Taarabt leads the charts with just four.
Though the 29-year-old Dutchman has 21 goals this season, Ferguson is not worried that losing Van Persie would mean United are a shadow of themselves.
'I don’t go along with the idea we have become a one-man team,' he told United Review.
'There was a time in our history when one man did carry us for a while. 
'Eric Cantona kept us in contention with his goals when a few others were off the boil.
'But things are quite different now. Javier Hernandez has weighed in with 12 goals while Wayne Rooney is currently on nine.
'Two defenders, Johnny Evans and Patrice Evra, have chipped in with eight between them, while opposition players have gifted three own goals to the league leaders.
'So it doesn’t stand up to see us as a one-man band overly dependent on Van Persie, brilliant as he has been at both making and taking goals.'
Spreading the goals: Ferguson's (pictured) team have 16 different goalscorers in the league this season, more than any other team
Spreading the goals: Ferguson's (pictured) team have 16 different goalscorers in the league this season, more than any other team
Important goals: Patrice Evra (right) has chipped in with four goals from left-back this season
Important goals: Patrice Evra (right) has chipped in with four goals from left-back this season
Ferguson, however, does agree with his rival Manchester manager, Roberto Mancini, who said that Van Persie is making the difference this season.
'He is absolutely relishing his new challenge,' he said. 'He is the right player, at the right club, at the right time.
'He has a winning mentality, but as he points out, it is one that goes right through the squad and one that will hopefully see us push on in both league and the cups and successfully navigate what is a busy and challenging period.'
United face Tottenham at White Hart Lane on Sunday.
Thriller: Spurs' Clint Dempsey (pictured) scores the winning goal during the 3-2 thriller at Old Trafford earlier this season
Thriller: Spurs' Clint Dempsey (pictured) scores the winning goal during the 3-2 thriller at Old Trafford earlier this season
 

More...



Read more: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2264478/Manchester-United-man-team.html#ixzz2IKwyMcSz
Follow us: @MailOnline on Twitter | DailyMail on Facebook

WALCOTT AMALIZA MASHAKA ARSENAL, ASAINI MKATABA MPYA HADI 2016 NA MSHAHARA MNONO


Theo Walcott has urged his Arsenal team-mates to end their eight-year trophy drought after the striker finally signed a £100,000-a-week deal, keeping him at the club until 2016.
After lengthy negotiations, the England forward agreed a lucrative three-and-a-half year deal at the Emirates, including a £3million signing on fee.
The 23-year-old joined fellow young Britons Jack Wilshere, Kieran Gibbs, Carl Jenkinson, Aaron Ramsey and Alex Oxlade-Chamberlain, who all signed five-year extensions last month. 
All smiles: Theo Walcott has finally put pen to paper on a new deal at the Emirates
All smiles: Theo Walcott has finally put pen to paper on a new deal at the Emirates
Handy men: Walcott (right) and Arsene Wenger shake on it after the striker signs
Handy men: Walcott (right) and Arsene Wenger shake on it after the striker signs
After ending any speculation that he would leave the club, Walcott said: 'I am very happy to have signed a new contract here at Arsenal. 
'Thanks to everyone for their continued support, especially the manager, everyone at the club and most importantly the fans. 
'I have made it clear from the start that I wanted to stay at Arsenal so I am pleased we have agreed a deal that everyone is happy with. 
'What’s important now is for the team to realise its potential and win trophies.'
Arsenal manager Arsene Wenger was delighted to have secured the services of Walcott.
He added: 'Theo is a strong player and also a great person, and the combination of his ability and pace always make him such a valuable asset either from the flanks or down the middle. 
'Theo’s contract extension now gives us a strong nucleus of ambitious young players who have committed to the Club and want to be successful with us as a group.'
Walcott was expected to agree a deal sooner, but he baulked at £75,000 per week in August as he held out for a contract closer to £100,000. 
Wenger has seen some of his brightest talents leave the Emirates in the past two summers. 
Cesc Fabregas, Samir Nasri, Alex Song and the Premier League's leading goalscorer this season Robin van Persie have all departed and the Frenchman was desperate to keep Walcott on board. 
Congratulations: Walcott with team-mates Alex Oxlade-Chamberlain (left) and Wojciech Szczesny (right)
Congratulations: Walcott with team-mates Alex Oxlade-Chamberlain (left) and Wojciech Szczesny (right)
On alert: Arsene Wenger was concerned that another of his prized assets would leave the club
On alert: Arsene Wenger was concerned that another of his prized assets would leave the club
Problem solved: Arsene Wenger managed to convince Walcott to stay at the club
Problem solved: Arsene Wenger managed to convince Walcott to stay at the club
Crisis averted: Samir Nasri moved to Manchester City
Crisis averted: Cesc Fabregas joined Barcelona in 2011
Crisis averted: Samir Nasri (left) moved to Manchester City and Cesc Fabregas (right) left for Barcelona in 2011
The Frenchman had said that he was '99 per cent' certain that Walcott would agree terms before the weekend.
Yesterday, he told The Sun: 'I hope it will be signed before the weekend. There is a possibility. My optimism is at 99 per cent now.'
Walcott joined the Gunners in 2006, when Wenger signed the 16-year-old Southampton academy graduate. 
The Englishman is Arsenal's top scorer this campaign with 14 goals in all competitions. 
Big loss: Robin van Persie left Arsenal last summer for Manchester United
Big loss: Robin van Persie left Arsenal last summer for Manchester United

BRANDTS AIONGOZA YANGA KATIKA MECHI YA 14 LEO


Brandts

KOCHA Mholanzi, Ernie Brandts leo anatarajiwa kuiongoza Yanga katika mechi ya 14 tangu ajiunge nayo Septemba mwaka huu, akitokea APR ya Rwanda wakati itakapomenyana na Black Leopard ya Afrika Kusini katika mchezo wa kirafiki, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
 
Yanga SC iliyorejea wiki Jumapili kutoka Uturuki kwenye kambi ya wiki mbili mjini Antalya, imekuwa ikijifua katika Uwanja wa Mabatini, Kijitonyama tangu Jumatano kwa ujumla kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Yanga leo itakutana na Black Leopard inayoshika nafasi ya 12 katika Ligi Kuu ya Afrika Kusini yenye timu 16, iliyowasili jana Dar es Salaam ikiwa na msafara wa watu 42 na kufikia katika hoteli ya White Sands, Mbezi Beach, Dar es Salaam.
Wachezaji wote walifanya mazoezi jana, kasoro kipa wa tatu, Yussuf Abdul na mshambuliaji Hamisi Kiiza 'Diego' wanaosumbuliwa na Malaria.
 
Katika mechi 13 ambazo Brandts ameiongoza Yanga hadi sasa tangu arithi mikoba ya Mbelgiji, Tom Saintfiet, ameshinda saba, kafungwa nne na kutoka sare mbili.
Kati ya hizo, mechi tisa ni za Ligi Kuu, ambazo amefungwa moja tu dhidi ya Kagera Sugar mjini Bukoba, wakati nyingine dhidi ya watani wa jadi, Simba SC alitoa sare ya 1-1 na saba ameshinda dhidi ya Toto African 3-1, Ruvu Shooting 3-2, Polisi Moro 3-0, JKT Oljoro 1-0, JKT Mgambo 3-0, Azam FC 2-0 na Coastal Union 2-0.
Nyingine zote za kirafiki kama ya leo, Yanga walifungwa 1-0 na Tusker Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kabla ya kwenda Uturuki, ambako walianza kwa sare ya 1-1 Ariminia Bielefed ya Daraja la Nne Ujerumani, kabla ya kufungwa 2-1 na Denizlispor FC ya Daraja la Kwanza Uturuki na 2-0 na Emmen FC ya Daraja la Kwanza Uholanzi.
REKODI YA ERNIE BRANDTS YANGA
Yanga 1-1 Simba SC            (Ligi Kuu)
Yanga 0-1 Kagera Sugar    (Ligi Kuu)
Yanga 3-1 Toto African      (Ligi Kuu)
Yanga 3-2 Ruvu Shooting  (Ligi Kuu)
Yanga 3-0 Polisi Moro       (Ligi Kuu)
Yanga 1-0 JKT Oljoro          (Ligi Kuu)
Yanga 3-0 JKT Mgambo     (Ligi Kuu)
Yanga 2-0 Azam FC             (Ligi Kuu)
Yanga 2-0 Coastal               (Ligi Kuu)
Yanga 0-1 Tusker                (Kirafiki)
Yanga 1-1 Ariminia Bielefed (Kirafiki)
Yanga SC 1-2 Denizlispor FC (Kirafiki)
Yanga SC 0-2 Emmen FC   (Kirafiki)
Yanga SC Vs Black Leopard (Kirafiki)

SOURCE bIN ZUBERY

AFCON RATIBA NZIMA KWA SAA ZA AFRIKA MASHARIKI

Jumamosi Januari 19
South Africa v Cape Verde Islands [Soccer City Saa 1 Usiku]
Angola v Morocco [Soccer City Saa 4 Usiku]
Jumapili Januari 20
Ghana v Congo DR [Nelson Mandela Bay Stadium Saa 12 Jioni]
Mali v Niger Nelson [Mandela Bay Stadium Saa 3 Usiku]
Jumatatu Januari 21
Zambia v Ethiopia [Mbombela Stadium Saa 12 Jioni]
Nigeria v Burkina Faso [Mbombela Stadium Saa 3 Usiku]
Jumanne Januari 22
Ivory Coast v Togo [Royal Bafokeng Stadium Saa 12 Jioni]
Tunisia v Algeria [Royal Bafokeng Stadium Saa 3 Usiku]
Jumatano Januari 23
South Africa v Angola [Moses Mabhida Stadium Saa 12 Jioni]
Morocco v Cape Verde Islands [Moses Mabhida Stadium Saa 3 Usiku]
Alhamisi Januari 24
Ghana v Mali [Nelson Mandela Bay Stadium Saa 12 Jioni]
Niger v Congo DR [Nelson Mandela Bay Stadium Saa 3 Usiku]
Ijumaa Januari 25
Zambia v Nigeria [Mbombela Stadium Saa 12 Jioni]
Burkina Faso v Ethiopia [Mbombela Stadium Saa 3 Usiku]
Jumamosi Januari 26
Ivory Coast v Tunisia [Royal Bafokeng Stadium Saa 12 Jioni]
Algeria v Togo [Royal Bafokeng Stadium Saa 3 Usiku]
Jumapili Januari 27
Morocco v South Africa [Moses Mabhida Stadium Saa 2 Usiku]
Cape Verde Islands v Angola [Nelson Mandela Bay Stadium Saa 2 Usiku]
Jumatatu Januari 28
Congo DR v Mali [Moses Mabhida Stadium Saa 2 Usiku]
Niger v Ghana [Nelson Mandela Bay Stadium Saa 2 Usiku]
Jumanne Januari 29
Ethiopia v Nigeria [Royal Bafokeng Stadium Saa 2 Usiku]
Burkina Faso v Zambia [Mbombela Stadium Saa 2 Usiku]
Jumatano Januari 30
Algeria v Ivory Coast [Royal Bafokeng Stadium Saa 2 Usiku]
Togo v Tunisia [Mbombela Stadium Saa 2 Usiku]
ROBO FAINALI
Jumamosi Februari 2
Mshindi Kundi B v Mshindi wa Pili Kundi A [Nelson Mandela Bay Stadium Saa 12 Jioni]
Mshindi Kundi A v Mshindi wa Pili Kundi B [Moses Mabhida Stadium Saa 3 na Nusu Usiku]
Jumapili Februari 3
Mshindi Kundi D v Mshindi wa Pili Kundi C [Royal Bafokeng Stadium Saa 12 Jioni]
Mshindi Kundi C v Mshindi wa Pili Kundi D [Mbombela Stadium Saa 3 na Nusu Usiku]
NUSU FAINALI
Jumatano Februari 6
Mshindi RF 3 v Mshindi RF 2 [Mbombela Stadium Saa 12 Jioni]
Mshindi RF 1 v Mshindi RF 4 [Moses Mabhida Stadium Saa 3 na Nusu Usiku]
MSHINDI wa TATU
Jumamosi Februari 9
[Nelson Mandela Bay Stadium Saa 3 Usiku]
FAINALI
Jumapili Februari 10
[Soccer City Saa 3 Usiku]